Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2018

Isabella-sehemu ya 04

Picha
    Sauti ya nguvu na ukali ilisikika ikitoka ndani na Mtoto akilia kwa uchungu huku akimuita mama upo wpi,huku sauti ya Mtoto ikisikika akilia ghafla geti lilifunguliwa kwa Sauti ya kubamiza na ghafla akaonekana Mtoto mdogo wakike akirushwa nje ya geti huku wakiume akjmfuatia na kumnyanyua Dada yake na kumodolea macho alowatoa nje ya geti,huku akiwahimiza wapotee mbele ya macho yake waende shuleni,watoto wawili wadogo kabisa hao wakiwa hawajui lakufanya nilisikia sauti ya yule wakiume akisema shangazi bus LA shule halipo.     Kumbe ni Lucy na Alex ndo walikuwa wakinyanyaswa na shangazi yao huyo aloachiwa kuwalea pamoja na kusimamia Mali mbalimbali za baba yao.ilisikika sauti ikisema ( Bus lashule halijaja kwani baba yako yupo hapa awalipie hela ya bus LA kuwapeleka shuleni?)  Oh kumbe ni shangazi ndo alikuwa akiwajibu watoto aloachiwa kuwalea na kuwatunzia Mali za baba yao ili wakikua wakaidhi.watoto wale walianza kuondoka taratibu kwa unyonge Alex akiwa amem...

Isabella-sehemu ya 03

Picha
     Muda ulivyozidi kwenda Isabella alizidi kuwa mnyonge na mkosefu wa furaha,akiwa dhoofu wa hali na mwenye huzuni kubwa kila Mara alikuwa akijitenaga na kukaa pekee yake huku akilia,alizidi kuwa mwenye hali tete kimasomo na hata kiafya kwani alipungua mwili na kupauka haswaa baada ya kuwa Amalia sana usiku na kula kidogo sana.Hata ngozi yake nyororo na laini ilianza kuharibika kutokana na Julia na kuchoka kimawaza.Mwalimu wa afya shuleni aligundua hili na kuanza kumpatia wasaa wa kumshauri na kumliwaza kwa kutoka naye wakati wa mapumziko ya mwisho wa wiki kwenda nayr sinema na kuzunguka katika sehemu mbalimbali za kumbukumbu.hata na hivyo haikumsaidia kwani alihitaji mapenzi zaidi na ukaribu wa watu Mara kwa Mara.   Siku moja huzuni yake ilizidi zaidi haswa baada ya kuwa alizoea kuwaona baba na mama wakiwa wanakuja kumtembelea siku za kutembelewa shuleni.Simanzi na huzuni moyoni vilizidi alipowaona marafiki zake wakiwa na wazazi wao wakila na kufurahi kwapamoja h...

TAZAMA SHOGA ALIVYOBANDULIWA HADHARANI

Isabella-sehemu ya 02

Picha
    Baada ya msiba mkubwa ulioufika familia ya isabella,ndugu na jamaa na marafiki walifika kufanya taratibu mbali mbali za maziko ambapo watu wengi walijawa na simanzi na nyuso za huzuni kutokana na msiba mkubwa ambao watoto hao wamefikwa,taratibu mbalimbali zilifanyika na siku inayofuata maziko yalifanyika kuwahifadhi wapenzi hao wawili kwenye nyumba yao ya milele.     Isabella na wadogo zake walikuwa wenye uchungu mkubwa haswa ikitegemewa kuwa wao bado ni tegemezi na ni watoto bado,isabella alikuwa kidato cha pili katika shule moja hapa jijini huku wadogo zake wakiwa bado katika shule za msingi,Baada ya msiba ndugu walikaa kikao ambacho kilikuwa kikiamua nani awe msimamizi na kuwakuza watoto na Mali mbali mbali za wazazi wao ikiwa ni pamoja na migodi ya madini iliyopo mererani,ilifikiwa muafaka kwamba Dada yake na marehemu shangazi yao ndio atakayesimamia na kuendeleza biashara mbalimbali za marehemu huku akiwalea watoto wake.     Ndugu na Jamaa walita...

Isabella-sehemu ya 01

        Wakati mwingine moyo unaweza ukafanya macho yakawa mapofu na yasione uendapo,wakati mwingine pia macho huweza kuudanganya na kuhadaa moyo usiweza kuchagua na kujua kipi bora na kipi sio bora chakuacha,ni kweli kuwa macho huona na moyo hutamani,pasipo matamanio hakuna kupenda wala kuvutiwa na chochote,akili nazo hujiona ni bora na kuwa na matakwa makubwa kuliko chaguzi LA moyo,fikra ni vitu bila fikra hakuna kitu chochote.         Isabella ni msichana mrembo mwenye umri mdogo ambaye amelelewa katika mazingira au makuzi ya kimaadili na mapenzi makubwa kutoka kwa wazazi,ubora wa familia alotokea haukuwa unafanana na  na hata mmoja wa marafiki ambao amewahi kuwa nao wala ambao amewahi kusoma nao.Alikuwa anaishi kwenye jumba ambalo hakukusa chochote wala hakuwa na shida yoyote.Alisoma tangu elimu ya awali mpaka elimu ya juu kwenye shule za kisasa na za gharama kubwa huku baba yake akiwa mfanyabiashara wa madini na mama akiwa ni daktari. ...

MAMBO MWANAMKE ASOYAPENDA KATIKA MAHUSIANO

Picha
Mwanamke hapendi haya. Kuulizwa change ya chochote ambacho umempa hela akanunue. Kuulizwa kuhusu mahusiano yake ya nyuma au yaliputa maana haya huwaacha na maumivu makubwa sana. Kuona mwanaume wake amekaa tu hana anachokifanya hiki kitu huwa kinamuumiza sana mwanamke. Kuchangia mapenzi na mwanamke ambaye hana mvuto kumzidi yeye,huona kwamba amezalilishwa. Kuona mwenzie kapendeza kuliko yeye wakati wewe mwanaume wake upo tu unabung'a tu. Kula chakula kinachofanana kila siku,hapendi na husononeka roho. Kuona wenzie wanapendana wakati yeye kila Mara mnagombana na kulumbana. Kuona marafiki zako wnafanikiwa halafu kila Mara upo pale pale haubadiliki japo tu kiakili  Ulevi Uvivu Uchoyo Na  Ubahili.

AFRICAN LIFE MATTERS

Picha
African is our continent,african is our culture,our continent accommodate all type of people on earth,we have Arabs,whites and us black people,the good thing about Africa is that we believe in us,in ourselves....      We have so much more to do in our continent than what we've done already.With strongly believing in oneself or another in one way or either way,our africa will stand firm,and that will happen only if Africans love what is ours.      African nations are made up with strong and wise people,kind people and loving people,no one had ever loved this land than us.than those who devoted their love,time,blood,sweat,tears and lost so much more on the way to bring these nations to where we are today.     Inspire of having those strong people who gave whatever they had without hesitating,we also have those who had bring calamities in our african continent as well as our beloved society,the brought violence,and sufferings to the people,so ma...

NEW WORLD POPULATION STATISTICS

Picha
NEW WORLD POPULATION STATISTICS. Population 7.8 billion people on planet earth. Women 5.6 billion Men 2.2 billion So ladies think twice before saying no to a man. Of the 2.2 billion, 1 billion are already married Leaving one billion men. - 500 million are jobless - 5% are gay - 3% are catholic priests - 10% are relatives - 12% are above 66 years - A sizable number are in prison and mental institutions **Ladies hold on to what you have tightly** Have a blessed evening!

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME

Picha
UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME  1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshitua 2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendae 3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajika 4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ 5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaume 6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tena 7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maisha 8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizwe 9.Kwenye kula;Mwanaume hu...