Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2018

Njia 3 za kujua kuwa upo kwenye mahusiano yasiyo sahihi

Picha
   Wote tupo tunajua kuwa maisha yetu ni muungano wa watu wawili,wrot huwa tunatarajia kuona maisha yeru yakiwa yenye furaha na upendo na amani ndani yetu.    Tunapaswa kutambua kuwa maisha ya upendo ni lazma ila maisha ya mahusiano ni uchaguzi,ni chaguo la mtu kuwa nawe kwenye mahusiano na sio lazima mtu kuwa nawe kwenye mahusiano.watu Fulani huwaganda watu wakidhani kuwa ni hali yao na ni lazima wawe nao kwenye mahusiano kumbe mahusiano ni mtu akuchague,sio lazima mtu akikupenda awe nawe kwenye mahusiano ila ni lazima mtu akikuchagua kuwa nawe kwenye mahusiano akupende.   Jinsi ya kujua kuwa upo kwenye mahusiano bandia. 1:USIRI;Watu wengi ambao wapo na watu wasio sahihi kwanza sio wawazi,hawawaweki waliopo nao kwenye mahusiano wazi kwa watu wao wa karibu,huwa wanapenda kuwa na usiri huku wakijitetea muda bado au tusubiri tuwe tayari.Hakika nakuambia kuwa hakunaga muda sahihi wa mtu kuwa kwenye mahusiano au ndoa ni maamuzi tu watu wengi hudhani kuwa muda nd...

Pogba Aimaliza Leicester City

Picha
   Manchester united imeanza msimu mpya wa ligi ya uingereza kwa kuifunga Leicester city bao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa nyumban wa Manchester united old traford.   Man united ndio ya kwanza kupata bao kulitia kwa mchezaji wao Paul pogba kwa njia ya Moira wa adhabu ya penalti baada ya mchezaji wa Leicester city kuunawa Mpita eneo la hatari.                    Pogba akitikisa wavu kwa mpira                          Wa penalti.     Mchezaji mwingine wa Manchester united akiweka kumbukumbu yake tangu atue clubun hapo na kufunga bao la pili ambalo lilies hakim is  mashetan hao wekundu ushindi wa moja kwa moja Shaw akifunga bao la pili la man u Huku bao pekee la Leicester city likifungwa na vardy dakika za nyongeza. Vardy akiifungia timu yake goal dakika za lala salama mechi ikiisha kwa mabao mawili kwa moja  ...

Steve nyerere na msiba wa king majuto

Picha
    Steve nyerere ni muigizaji maarufu na MTU mwenye ushawishi mkubwa kwa Sana'a na hats Siasa hapa nchini.Ni mchekeshaji pia na kijana mwenye busara sana.   Steve amekuwa ni mtu wa pekee wa kujitolea na mwenye roho ya pekee ambaye hujitoa kwa roho moja na kufanya mambo mbalimbali kuendelea,licha tu ya kujitolea msiban hata mwenye starehe kujitolea na kwa moyo mmoja na roho moja.Luna utani kuwa huwa anafanya ubadhirifu wa fedha za ubani jaman tuache utani wa hivyo.    Tunamtegemea pia sana katika suala la mzee wetu pia kwamba atakuwa na kujitokea kwa moyo mmoja na kufanya shughuli ya kumpumzisha mzee wetu kuwa rahisi na kwa utaratibu wa kutosha,tumtie moyo kwan hata mwenye ukoo yupo mtu mmoja ambaye kujitolea kwa moyo mmoja kushughulikia mambo yote.big up Steve watanzania na maneno yao tu kaka. x

Tanzia king majuto afariki dunia

Picha
Muigizaji mkongwe na mchekeshaji king majuto amefariki dunia Leo jioni katika hospital ya taiga ya muhimbili R.I.P king majuto

Je Yesu ni Mungu kweli?

Picha
     K umekuwa na mvutano mkubwa wa kidini na kidhehebu duniani na majibizano ya kwanini Yesu akawa ni Mungu,watu huamini Mungu ni mmoja mwenyewe nafsi tatu huku wengine wakiamini Mungu ni mmoja tu,watu wengi husema tu bila kuwa na ushahidi wa maneno matakatifu kuthibitisha na kuitetea imani yao kuwa Yesu kweli ni Mungu.    Kumekuwa na mgawanyiko wa madhehebu mbalimbaki ya kidini na wengine wakitokea bila dhehebu lolote huku wengine wakiwa na makanisa binafsi hilo sio tatizo je wanamtambua Yesu kuwa Mungu? Je wanaushahidi wowote wa kibiblia ambao huonesha kuwa kweli yesu ni Mungu na Bwana na sio nabii kama dini nyingine zinavyodai?    Leo nipo na ushahidi mdogo na mkubwa kwenu kuwa yesu ni Mungu,ni mfalme wa amani,ni mtawala wa milele,ni Mungu mwenyewe nguvu na mshauri wa amani.... Ukifungua kitabu cha nabii Isaya sura ya 9:6-7 inaushahidi tosha kwamba yesu ni Mungu na mfalme wa wafalme.... Isaya 9:6 Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu,tumepewa mt...

Ozil hajasita kuchagua kati ya mess na Christian ronaldo

Picha
Ni kweli kuwa hakuna star wa soka kwenye kizazi cha sasa wenye kiwango kama cha wawili hao ila pamekuwa kila Mara na maneno na ubishani nan mkali kati ya mmoja dhidi ya mwingine.Alivyoukizwa ozil hakusita kumchagua christian ronaldo. Alisema "kama nikisema nichague nitamchagua ronaldo maana huwa wakwaza mazoezini na wa mwisho kuondoka uwanjani" alisema ozil Pia aliendelea kusema "Christian ni mtu anayetaka mafanikio sana,hata ashinde anatamani aushinde ushindi mwenyewe,kucheza naye misimu mitatu pale la liga imenifanya kumjua zaidi." Alisema ozil

Nafasi za kazi

Picha

JINSI YA KUIMARISHA MAPENZI

Picha
Watu wengi huishi mwenye mahusiano ambayo huwa kama mfu,ambayo kila Mara maisha huonekana magumu na yasoridhisha kwa kila mmoja.Ukweli ni kuwa mapenzi sio pesa ila pesa ina umuhimu wake mwenye mapenzi na wakati mwingine ni pesa ni msingi wa mapenzi ya watu ya walio wengi. Kuna njia mbali mbali ambazo humfanya mtu afumu kwenye mahusiano na kumpenda alonaye kwa dhati,njia hizi zitakusaidia kuboresha na kukufanya uwe na furaha kwenye maisha yako. 1:Muamini Mpenzi wako:ukitaka kuwa na amani kwenye maisha ya mapenzi chagua kuamini hata kama hakuna namna,chagua kuamini tu maana ukiwa unampenda mtu lazima umuamini,usipomuamini kamwe hutokaa uwe na furaha na amani ya mapenzi. 2:Msikilize mpenzi wako:kila mmoja anatamani kuwa na mtu anayejali,kusikikiza tu ni kujali,kujali sio kununua vitu vya kifahari,ni kusikiliza,wakati mwingine kusikiliza ni zaidi ya dawa na tiba kwa mtu,wakati mwingine hata kama mpenzi wako anasema jambo linalokuumiza vipi angalau chagua kusikiliza. 3:Jitolee Muda Wak...