Steve nyerere na msiba wa king majuto

    Steve nyerere ni muigizaji maarufu na MTU mwenye ushawishi mkubwa kwa Sana'a na hats
Siasa hapa nchini.Ni mchekeshaji pia na kijana mwenye busara sana.
  Steve amekuwa ni mtu wa pekee wa kujitolea na mwenye roho ya pekee ambaye hujitoa kwa roho moja na kufanya mambo mbalimbali kuendelea,licha tu ya kujitolea msiban hata mwenye starehe kujitolea na kwa moyo mmoja na roho moja.Luna utani kuwa huwa anafanya ubadhirifu wa fedha za ubani jaman tuache utani wa hivyo.
   Tunamtegemea pia sana katika suala la mzee wetu pia kwamba atakuwa na kujitokea kwa moyo mmoja na kufanya shughuli ya kumpumzisha mzee wetu kuwa rahisi na kwa utaratibu wa kutosha,tumtie moyo kwan hata mwenye ukoo yupo mtu mmoja ambaye kujitolea kwa moyo mmoja kushughulikia mambo yote.big up Steve watanzania na maneno yao tu kaka.

x

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Bin bin pyramid

Japan vs costa rica

MANUEL DE LA SUPRÉMATIE BLANCHE