Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2018

Vitu 6 vya kukusaidia kujua kama uliyenaye ni mwanamke sahihi wakuoa.

Picha
    Linapokuja suala la kuoa ni muhimu zaidi kuamua sahihi maana ni rahisi sana kila jambo kuwa baya kama tutachukua maamuzi mabaya kuoa mwanamke asiye sahihi kwa sababu zisizo za msingi.Sababu hizi za msingi zitakusaidia kujua kama mwanamke ulonae snsfaa kuoa au mpotezeane.... 1:ANAJIVUNIA WEWE.       Kama anajivunia wewe na kukuzungumzia anapokuwa na marafiki zake,wafanyakazi wenzake huyu ni mwanamke wakuoa.kama anafikiria we we ni mwanamke bora mwanamke yeyote anaweza kuwa nawe hii itakusaidia kuamua. 2:YUPO POA NA MARAFIKI ZAKO        Marafiki wa mwanaume ni sehemu muhimu sana ya ulimwengu wake,mwanaume yeyote anahitaji mwanamke anayejua kuwa marafiki zake ni muhimu kwake pia.Kama anajihusisha sana kujua marafiki zako wanaendeleaje na kupenda kutoka na wewe na marafiki zako hiki kitakusaidia kujua kama ndiye mwanamke wakuoa. 3:ANA MAISHA YAKE        Kama anaelewa kuwa sio kila jambo lazima likuhusu wewe na anae...

34 facts about men

Picha
FACTS ABOUT MAN........... 1.Never change your looks thinking that will keep a man from cheating or desire you more. 2.Men hate it when you go through his personal belongings checking for paystubs,bank statements,phone numbers,or cell records. 3.Men do not like it when women use sex as a weapon. 4.Food and sex is not the real way to a man's heart. 5.Never ask a man if he is cheating,because he most likely is not going to give you the real answer. 6.Some men pretend to hate and despise a particular woman,but actually he really likes her.He may even call her a bad name to make you think he do not want her. 7.Men fall in love faster than women. 8.Men have a difficult time expressing themselves. 9.Men cheat because of the lack of affection,sexual addiction,weak for sex,revenge on a cheating partner,and pressure from male friends and seductive women. 10.Men do not like it when a woman loud talk them and don't give them a chance to speak. 11.Men will date differen...

Njia 3 za kujua kuwa upo kwenye mahusiano yasiyo sahihi

Picha
   Wote tupo tunajua kuwa maisha yetu ni muungano wa watu wawili,wrot huwa tunatarajia kuona maisha yeru yakiwa yenye furaha na upendo na amani ndani yetu.    Tunapaswa kutambua kuwa maisha ya upendo ni lazma ila maisha ya mahusiano ni uchaguzi,ni chaguo la mtu kuwa nawe kwenye mahusiano na sio lazima mtu kuwa nawe kwenye mahusiano.watu Fulani huwaganda watu wakidhani kuwa ni hali yao na ni lazima wawe nao kwenye mahusiano kumbe mahusiano ni mtu akuchague,sio lazima mtu akikupenda awe nawe kwenye mahusiano ila ni lazima mtu akikuchagua kuwa nawe kwenye mahusiano akupende.   Jinsi ya kujua kuwa upo kwenye mahusiano bandia. 1:USIRI;Watu wengi ambao wapo na watu wasio sahihi kwanza sio wawazi,hawawaweki waliopo nao kwenye mahusiano wazi kwa watu wao wa karibu,huwa wanapenda kuwa na usiri huku wakijitetea muda bado au tusubiri tuwe tayari.Hakika nakuambia kuwa hakunaga muda sahihi wa mtu kuwa kwenye mahusiano au ndoa ni maamuzi tu watu wengi hudhani kuwa muda nd...

Pogba Aimaliza Leicester City

Picha
   Manchester united imeanza msimu mpya wa ligi ya uingereza kwa kuifunga Leicester city bao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa nyumban wa Manchester united old traford.   Man united ndio ya kwanza kupata bao kulitia kwa mchezaji wao Paul pogba kwa njia ya Moira wa adhabu ya penalti baada ya mchezaji wa Leicester city kuunawa Mpita eneo la hatari.                    Pogba akitikisa wavu kwa mpira                          Wa penalti.     Mchezaji mwingine wa Manchester united akiweka kumbukumbu yake tangu atue clubun hapo na kufunga bao la pili ambalo lilies hakim is  mashetan hao wekundu ushindi wa moja kwa moja Shaw akifunga bao la pili la man u Huku bao pekee la Leicester city likifungwa na vardy dakika za nyongeza. Vardy akiifungia timu yake goal dakika za lala salama mechi ikiisha kwa mabao mawili kwa moja  ...

Steve nyerere na msiba wa king majuto

Picha
    Steve nyerere ni muigizaji maarufu na MTU mwenye ushawishi mkubwa kwa Sana'a na hats Siasa hapa nchini.Ni mchekeshaji pia na kijana mwenye busara sana.   Steve amekuwa ni mtu wa pekee wa kujitolea na mwenye roho ya pekee ambaye hujitoa kwa roho moja na kufanya mambo mbalimbali kuendelea,licha tu ya kujitolea msiban hata mwenye starehe kujitolea na kwa moyo mmoja na roho moja.Luna utani kuwa huwa anafanya ubadhirifu wa fedha za ubani jaman tuache utani wa hivyo.    Tunamtegemea pia sana katika suala la mzee wetu pia kwamba atakuwa na kujitokea kwa moyo mmoja na kufanya shughuli ya kumpumzisha mzee wetu kuwa rahisi na kwa utaratibu wa kutosha,tumtie moyo kwan hata mwenye ukoo yupo mtu mmoja ambaye kujitolea kwa moyo mmoja kushughulikia mambo yote.big up Steve watanzania na maneno yao tu kaka. x

Tanzia king majuto afariki dunia

Picha
Muigizaji mkongwe na mchekeshaji king majuto amefariki dunia Leo jioni katika hospital ya taiga ya muhimbili R.I.P king majuto

Je Yesu ni Mungu kweli?

Picha
     K umekuwa na mvutano mkubwa wa kidini na kidhehebu duniani na majibizano ya kwanini Yesu akawa ni Mungu,watu huamini Mungu ni mmoja mwenyewe nafsi tatu huku wengine wakiamini Mungu ni mmoja tu,watu wengi husema tu bila kuwa na ushahidi wa maneno matakatifu kuthibitisha na kuitetea imani yao kuwa Yesu kweli ni Mungu.    Kumekuwa na mgawanyiko wa madhehebu mbalimbaki ya kidini na wengine wakitokea bila dhehebu lolote huku wengine wakiwa na makanisa binafsi hilo sio tatizo je wanamtambua Yesu kuwa Mungu? Je wanaushahidi wowote wa kibiblia ambao huonesha kuwa kweli yesu ni Mungu na Bwana na sio nabii kama dini nyingine zinavyodai?    Leo nipo na ushahidi mdogo na mkubwa kwenu kuwa yesu ni Mungu,ni mfalme wa amani,ni mtawala wa milele,ni Mungu mwenyewe nguvu na mshauri wa amani.... Ukifungua kitabu cha nabii Isaya sura ya 9:6-7 inaushahidi tosha kwamba yesu ni Mungu na mfalme wa wafalme.... Isaya 9:6 Maana mtoto amezaliwa kwa ajili yetu,tumepewa mt...

Ozil hajasita kuchagua kati ya mess na Christian ronaldo

Picha
Ni kweli kuwa hakuna star wa soka kwenye kizazi cha sasa wenye kiwango kama cha wawili hao ila pamekuwa kila Mara na maneno na ubishani nan mkali kati ya mmoja dhidi ya mwingine.Alivyoukizwa ozil hakusita kumchagua christian ronaldo. Alisema "kama nikisema nichague nitamchagua ronaldo maana huwa wakwaza mazoezini na wa mwisho kuondoka uwanjani" alisema ozil Pia aliendelea kusema "Christian ni mtu anayetaka mafanikio sana,hata ashinde anatamani aushinde ushindi mwenyewe,kucheza naye misimu mitatu pale la liga imenifanya kumjua zaidi." Alisema ozil

Nafasi za kazi

Picha

JINSI YA KUIMARISHA MAPENZI

Picha
Watu wengi huishi mwenye mahusiano ambayo huwa kama mfu,ambayo kila Mara maisha huonekana magumu na yasoridhisha kwa kila mmoja.Ukweli ni kuwa mapenzi sio pesa ila pesa ina umuhimu wake mwenye mapenzi na wakati mwingine ni pesa ni msingi wa mapenzi ya watu ya walio wengi. Kuna njia mbali mbali ambazo humfanya mtu afumu kwenye mahusiano na kumpenda alonaye kwa dhati,njia hizi zitakusaidia kuboresha na kukufanya uwe na furaha kwenye maisha yako. 1:Muamini Mpenzi wako:ukitaka kuwa na amani kwenye maisha ya mapenzi chagua kuamini hata kama hakuna namna,chagua kuamini tu maana ukiwa unampenda mtu lazima umuamini,usipomuamini kamwe hutokaa uwe na furaha na amani ya mapenzi. 2:Msikilize mpenzi wako:kila mmoja anatamani kuwa na mtu anayejali,kusikikiza tu ni kujali,kujali sio kununua vitu vya kifahari,ni kusikiliza,wakati mwingine kusikiliza ni zaidi ya dawa na tiba kwa mtu,wakati mwingine hata kama mpenzi wako anasema jambo linalokuumiza vipi angalau chagua kusikiliza. 3:Jitolee Muda Wak...

AFRICAN LIFE MATTERS,PARTY ONE RELIGION

   It is true that regardless of our colour,it doesn't matter that you are black or white,african or an indian,chinese or japanese,it doesn't matter we are very different in our faith we all belong to one race.We all believe in one God in different faith and on how we worship him,we all agree that God lives in heaven and that's what makes us to belong in one race.       well this party we are looking on the role of religion in majority of african countries that plays in order to make sure that african continent is the best place and the peaceful place for people to reside in.You will all agree with me during the worship is the right moment to talk and to tell people in good ways what is which and which is what.I strongly believe that if we really use our religion in good ways african continent will be the better and peacefully place for you and me.      we are living in the world which the strong ones will survive,which is something very wrong ...

Isabella-sehemu ya 04

Picha
    Sauti ya nguvu na ukali ilisikika ikitoka ndani na Mtoto akilia kwa uchungu huku akimuita mama upo wpi,huku sauti ya Mtoto ikisikika akilia ghafla geti lilifunguliwa kwa Sauti ya kubamiza na ghafla akaonekana Mtoto mdogo wakike akirushwa nje ya geti huku wakiume akjmfuatia na kumnyanyua Dada yake na kumodolea macho alowatoa nje ya geti,huku akiwahimiza wapotee mbele ya macho yake waende shuleni,watoto wawili wadogo kabisa hao wakiwa hawajui lakufanya nilisikia sauti ya yule wakiume akisema shangazi bus LA shule halipo.     Kumbe ni Lucy na Alex ndo walikuwa wakinyanyaswa na shangazi yao huyo aloachiwa kuwalea pamoja na kusimamia Mali mbalimbali za baba yao.ilisikika sauti ikisema ( Bus lashule halijaja kwani baba yako yupo hapa awalipie hela ya bus LA kuwapeleka shuleni?)  Oh kumbe ni shangazi ndo alikuwa akiwajibu watoto aloachiwa kuwalea na kuwatunzia Mali za baba yao ili wakikua wakaidhi.watoto wale walianza kuondoka taratibu kwa unyonge Alex akiwa amem...

Isabella-sehemu ya 03

Picha
     Muda ulivyozidi kwenda Isabella alizidi kuwa mnyonge na mkosefu wa furaha,akiwa dhoofu wa hali na mwenye huzuni kubwa kila Mara alikuwa akijitenaga na kukaa pekee yake huku akilia,alizidi kuwa mwenye hali tete kimasomo na hata kiafya kwani alipungua mwili na kupauka haswaa baada ya kuwa Amalia sana usiku na kula kidogo sana.Hata ngozi yake nyororo na laini ilianza kuharibika kutokana na Julia na kuchoka kimawaza.Mwalimu wa afya shuleni aligundua hili na kuanza kumpatia wasaa wa kumshauri na kumliwaza kwa kutoka naye wakati wa mapumziko ya mwisho wa wiki kwenda nayr sinema na kuzunguka katika sehemu mbalimbali za kumbukumbu.hata na hivyo haikumsaidia kwani alihitaji mapenzi zaidi na ukaribu wa watu Mara kwa Mara.   Siku moja huzuni yake ilizidi zaidi haswa baada ya kuwa alizoea kuwaona baba na mama wakiwa wanakuja kumtembelea siku za kutembelewa shuleni.Simanzi na huzuni moyoni vilizidi alipowaona marafiki zake wakiwa na wazazi wao wakila na kufurahi kwapamoja h...

TAZAMA SHOGA ALIVYOBANDULIWA HADHARANI

Isabella-sehemu ya 02

Picha
    Baada ya msiba mkubwa ulioufika familia ya isabella,ndugu na jamaa na marafiki walifika kufanya taratibu mbali mbali za maziko ambapo watu wengi walijawa na simanzi na nyuso za huzuni kutokana na msiba mkubwa ambao watoto hao wamefikwa,taratibu mbalimbali zilifanyika na siku inayofuata maziko yalifanyika kuwahifadhi wapenzi hao wawili kwenye nyumba yao ya milele.     Isabella na wadogo zake walikuwa wenye uchungu mkubwa haswa ikitegemewa kuwa wao bado ni tegemezi na ni watoto bado,isabella alikuwa kidato cha pili katika shule moja hapa jijini huku wadogo zake wakiwa bado katika shule za msingi,Baada ya msiba ndugu walikaa kikao ambacho kilikuwa kikiamua nani awe msimamizi na kuwakuza watoto na Mali mbali mbali za wazazi wao ikiwa ni pamoja na migodi ya madini iliyopo mererani,ilifikiwa muafaka kwamba Dada yake na marehemu shangazi yao ndio atakayesimamia na kuendeleza biashara mbalimbali za marehemu huku akiwalea watoto wake.     Ndugu na Jamaa walita...

Isabella-sehemu ya 01

        Wakati mwingine moyo unaweza ukafanya macho yakawa mapofu na yasione uendapo,wakati mwingine pia macho huweza kuudanganya na kuhadaa moyo usiweza kuchagua na kujua kipi bora na kipi sio bora chakuacha,ni kweli kuwa macho huona na moyo hutamani,pasipo matamanio hakuna kupenda wala kuvutiwa na chochote,akili nazo hujiona ni bora na kuwa na matakwa makubwa kuliko chaguzi LA moyo,fikra ni vitu bila fikra hakuna kitu chochote.         Isabella ni msichana mrembo mwenye umri mdogo ambaye amelelewa katika mazingira au makuzi ya kimaadili na mapenzi makubwa kutoka kwa wazazi,ubora wa familia alotokea haukuwa unafanana na  na hata mmoja wa marafiki ambao amewahi kuwa nao wala ambao amewahi kusoma nao.Alikuwa anaishi kwenye jumba ambalo hakukusa chochote wala hakuwa na shida yoyote.Alisoma tangu elimu ya awali mpaka elimu ya juu kwenye shule za kisasa na za gharama kubwa huku baba yake akiwa mfanyabiashara wa madini na mama akiwa ni daktari. ...

MAMBO MWANAMKE ASOYAPENDA KATIKA MAHUSIANO

Picha
Mwanamke hapendi haya. Kuulizwa change ya chochote ambacho umempa hela akanunue. Kuulizwa kuhusu mahusiano yake ya nyuma au yaliputa maana haya huwaacha na maumivu makubwa sana. Kuona mwanaume wake amekaa tu hana anachokifanya hiki kitu huwa kinamuumiza sana mwanamke. Kuchangia mapenzi na mwanamke ambaye hana mvuto kumzidi yeye,huona kwamba amezalilishwa. Kuona mwenzie kapendeza kuliko yeye wakati wewe mwanaume wake upo tu unabung'a tu. Kula chakula kinachofanana kila siku,hapendi na husononeka roho. Kuona wenzie wanapendana wakati yeye kila Mara mnagombana na kulumbana. Kuona marafiki zako wnafanikiwa halafu kila Mara upo pale pale haubadiliki japo tu kiakili  Ulevi Uvivu Uchoyo Na  Ubahili.

AFRICAN LIFE MATTERS

Picha
African is our continent,african is our culture,our continent accommodate all type of people on earth,we have Arabs,whites and us black people,the good thing about Africa is that we believe in us,in ourselves....      We have so much more to do in our continent than what we've done already.With strongly believing in oneself or another in one way or either way,our africa will stand firm,and that will happen only if Africans love what is ours.      African nations are made up with strong and wise people,kind people and loving people,no one had ever loved this land than us.than those who devoted their love,time,blood,sweat,tears and lost so much more on the way to bring these nations to where we are today.     Inspire of having those strong people who gave whatever they had without hesitating,we also have those who had bring calamities in our african continent as well as our beloved society,the brought violence,and sufferings to the people,so ma...

NEW WORLD POPULATION STATISTICS

Picha
NEW WORLD POPULATION STATISTICS. Population 7.8 billion people on planet earth. Women 5.6 billion Men 2.2 billion So ladies think twice before saying no to a man. Of the 2.2 billion, 1 billion are already married Leaving one billion men. - 500 million are jobless - 5% are gay - 3% are catholic priests - 10% are relatives - 12% are above 66 years - A sizable number are in prison and mental institutions **Ladies hold on to what you have tightly** Have a blessed evening!

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME

Picha
UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME  1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshitua 2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendae 3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajika 4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ 5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaume 6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tena 7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maisha 8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizwe 9.Kwenye kula;Mwanaume hu...

furaha

Furaha ni mambo au jambo ambalo ni muhimu sana kwenye jamii Yetu, Jamii zetu za kiafrika zinahitaji faraja zaidi kuliko chochote kile, Hakika furaha ni thamani,ni Mali,ni kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu, Furaha inapotoweka basis hakuna kingine zaidi ya kupandikiza chuki,masimango,masengenyo,na unafiki ndani Yetu hakika jamii zetu za kiafrika zinahitaji furaha zaidi kuliko kingine. Tufurahi